TAHARIRI
Namna shambulio la kijeshi dhidi ya Iran lilivyoikatisha tamaa Ulaya
Vita vinavyoendeshwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran si mgogoro wa kijeshi wa eneo dogo tu katika Asia Magharibi. Kufungwa Lango-Bahari la Hormuz na kuvurugika kimataifa usambazaji wa nishati kumetikisa uchumi wa dunia nzima, ambapo madhara yake yanaonekana wazi hadi katika kitovu cha Ulaya na Uingereza.
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140822-namna_shambulio_la_kijeshi_dhidi_ya_iran_lilivyoikatisha_tamaa_ulaya