Radio Tehran (SW): post #16379 — TG.ME

Gaza na Sudan zaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi kwa watoa misaada ya kibinadamu
Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mwaka 2025 ulishuhudia viwango vya juu vya ukatili dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, ambapo wafanyakazi 907 wa sekta hiyo wameuawa, kujeruhiwa au kutekwa nyara.
https://parstoday.ir/sw/news/world-i140798-gaza_na_sudan_zaongoza_katika_orodha_ya_maeneo_hatari_zaidi_kwa_watoa_misaada_ya_kibinadamu
August 19, 2026 5