Radio Tehran (SW): post #16402 — TG.ME

Mkuu wa Usalama: Iran itaendelea kufunga Hormuz hadi Marekani itimize majukumu yake

Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itafubaza mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani ikiwa ni pamoja na kuzichukulia hatua nchi ambazo zinashiriki katika “vita vya kiuchumi” vya Marekani dhidi ya Iran.
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140906-mkuu_wa_usalama_iran_itaendelea_kufunga_hormuz_hadi_marekani_itimize_majukumu_yake
August 23, 2026 6