Radio Tehran (SW): post #16401 — TG.ME

Pezeshkian: Ulimwengu umeshangazwa na ustahimilivu wa Iran katika vita vya Marekani na Israel

Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa tathmini ya adui kwamba Iran itasambaratika kutokana na mashinikizo makubwa haikuwa sahihi kwa na kwamba mshikama na umoja wa taifa hili vimeishangaza dunia.
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140908-pezeshkian_ulimwengu_umeshangazwa_na_ustahimilivu_wa_iran_katika_vita_vya_marekani_na_israel
August 23, 2026 5