Iran yawatimua wanadiplomasia wawili wa Ufaransa kutokana na mienendo yao haramu
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewatangaza wanadiplomasia wawili wa Ufaransa wanaofanya kazi katika Ubalozi wa Ufaransa mjini Tehran kuwa ni watu wasiostahili kutokana na shughuli zao zinazotambuliwa kuwa kinyume na sheria za kimataifa na Mkataba wa Vienna wa 1961 kuhusu Mahusiano ya Kidiplomasia.
https://parstoday.ir/sw/news/iran-i140794-iran_yawatimua_wanadiplomasia_wawili_wa_ufaransa_kutokana_na_mienendo_yao_haramu

August 19, 2026 9