Radio Tehran (SW): post #16409 — TG.ME

Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."
https://parstoday.ir/sw/news/west_asia-i140914-kamanda_qaani_palestina_ni_fikra_iliyo_hai_na_isiyobadilika
August 24, 2026 3