MWANAMUZIKI HARMONIZE KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA TANDAHIMBA
> Mwanamuziki Rajab Abdul maarufu Harmonize, amesema ana mpango wa kugombea Ubunge katika Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais Magufuli kupendekeza afanye hivyo
Soma - https://jamii.app/HarmonizeUbunge
Forwarded fromJamiiForums

June 15, 2020 9.5K