Udakutz: post #786 — TG.ME

Forwarded fromJAJamiiForums
MWANAMUZIKI HARMONIZE KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA TANDAHIMBA

> Mwanamuziki Rajab Abdul maarufu Harmonize, amesema ana mpango wa kugombea Ubunge katika Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara, miezi kadhaa baada ya Rais Magufuli kupendekeza afanye hivyo

Soma - https://jamii.app/HarmonizeUbunge
June 15, 2020 9.5K